Выберите трек для воспроизведения
B-B-Big beats Afriq
Wuzu! Hm yo
Kama we ni mchizi magames na player, I'm so NY nakaa EA
Mjuniour am breeding hukaa L.A
Maasai na amedunga ma-Merrell
Na kutoka SA, aliniuzianga makaa LA
Don't bother hii ni Wakadinali
Niite Don Munga, Wuzu mi ni nani?
Karao nilimtukana na ni ka-Turkana, nilimbongesha kilami
Munga nawakana mwizi alitagwa, Buru ndani burudani
Mtoto msichana, Hannah Montana, gwanja na miraa
Niliacha kuzifanya hizo madawa, ma jaba na miraa
Choma boza Munga ma mchicha, ati wako nichi wachawi wanajificha
Nimetoka Umoroto kuwajibika
Hata kukinyesha mi hubuyia mjuniour ma criba
Balaa, baba, umeshiba?
Na ujue mi silei Osama, usiwai enda kuiba
Sanse walikuja na Mazda, idhaa flani nikikunywa chwada
Za ovyo tu kunihadaa, ati ju ya handas utalala mada
Saa hizo niko madawa maduya, mta do what?
Vitu wanadu tuna boo wanabuya, wanagwaya
Still I'm living my dream, nataka Benzo na Beamer
What you talking nani? Naeza kubuyia kwa bar na unazima
Kama sikuchoti mami, risto za freeride hakuna
Nani? Ni nani? (Huh) Ni Wakadinali ririma
Nimetoka Umoroto tena kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena nikiingia keja njumu inatepa, uh
Nimetoka Umoroto tena kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena nikiingia keja njumu inatepa, uh
Alitaka niingiwe marungu, wapi juu informer aliua nyungu
Tulimchunguch, nugu tulimuonea 18 kiu Mungu-Mungu
Mkate ikatwe nusu-nusu, biz legit tukiwa mi na Wuzu
Na ni kuuliza tu, BBI Corona inatuhusu?
Hatupose hata ka ni kwa picha, na hatudoze masaa si hupitisha
On toes jo hamwezi tupita, na mmekimya hamwezi lilisha
Slaves design ya Lupita, 12 years Inda ju ya kuiva
Baze usikam ka umepiga, unaeza rudi jakdes bila
Sijamunch tangu late March, siwezi fightia system corrupt
Na usifuss ka huwezi spar, nchi zingine pia wao ni mraa
Nyako ulimtoa kwa bar, mali fisa nilianua reserve
Na, of course, tuko na gun, haimaanishi uingie round kusnatch
Kuna time nilikuwa kwa crowd na kuna time niligeuzwa Stephen
RIP my partner in crime, alikuwa stoned to death mtaa ju ya wizi
Sai niko exile pon di way, on the road to mtini
(RIP my partner in crime, alikuwa stoned to death mtaa ju ya wizi)
Still I'm living my dream, nataka Benzo na Beamer
What you talking nani? Naeza kubuyia kwa bar na unazima
Kama sikuchoti mami, risto za freeride hakuna
Nani? Ni nani? (Huh) Ni Wakadinali ririma
Nimetoka Umoroto tena kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena nikiingia keja njumu inatepa, uh
Nimetoka Umoroto tena kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena nikiingia keja njumu inatepa, uh
Yo nimetoka keja tena, uh
Back in the streets ducking police, nitakuwa mteja tena, uh
Chini matick Patek Philippe, sijui ningeongezea mbwenya
Huyo mtoto huscream ye hupenda hii stick
But ye huwanga shy kusema
Bitch umerudi cyber tena mi Dosh na si wa side za Tena
Ah, bro bro ashaingia chamber, cheki hizo side za pienga
Pull up kwa ndae na ndeng'a, bitch dunga hio M-Pesa tena
Yo, nini inaryhme na error? Oh mi siwezi smile na hater
Ukitaka unapewa sahii, tukitoka ni best I leanse
Hatuzozi na wasee hawasaidii
Eastlands said they know me I said for real
Nina mbogi just me and my G's, jaza pori ju mi huwanga biz
Slowly, slowly I go on man knees
You fuck with my homies, you fucking with me (for real)
Mi huwanga lyrical nina ndeng'a I had to leave it on
New iPhone to write my lyrics on Chwadi bugizzy, jaba digital
Macho ni indigo, drama ni mingi jo
Mambleina leave me alone, hashtag easy oh
Still I'm living my dream, nataka Benzo na Beamer
What you talking nani? Naeza kubuyia kwa bar na unazima
Kama sikuchoti mami? Risto za freeride hakuna
Nani? Ni nani? (Huh) Ni Wakadinali ririma
Nimetoka Umoroto tena kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena nikiingia keja njumu inatepa, uh
Nimetoka Umoroto tena kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena nikiingia keja njumu inatepa, uh